Rais Mwinyi awatembelea wagonjwa Lumumba

0

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewatembelea wagonjwa na kuwafariji katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mjini Lumumba, tarehe 1 Aprili 2025.

Wagonjwa waliotembelewa Arafa Mohamed Said na Kanali Mstaafu Mzee Masoud Khamis Juma.

Rais Dkt.Mwinyi amewatakia heri na kuwaombea kupona haraka.

Rais Dkt.Mwinyi amekuwa na utaratibu wa kuwafariji wagonjwa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here