NEC yateua Madiwani watano wa Viti Maalum

0
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji (R) Jacobs Mwambegele (kushoto) akiongoza kikao cha Tume jijini Dodoma ambapo pamoja na mambo mengine kiliteua madiwani watano (5) wanawake wa viti Maalum. Pamoja nae ni Katibu wa Tume na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here