Marais wastaafu wa Z’bar wampongeza Dkt. Mwinyi kwa ushindi na kudumisha amani

0

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Marais Wastaafu wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohamed Shein wa Awamu ya Saba na Amani Abeid Karume wa Awamu ya Sita, Ikulu Zanzibar Novemba 8, 2025.

Marais hao wastaafu wamemtembelea Rais Dkt. Mwinyi kwa lengo la kumpongeza kwa ushindi wa kishindo alioupata, pamoja na kupongeza hali ya amani na utulivu iliyoshuhudiwa wakati wa Uchaguzi Mkuu.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here