Nchi za Afrika zatakiwa kuimarisha mkataba wa AfCFTA

0
Moussa Faki Mahamat (2nd L), Chairperson of the African Union Commission, Christophe Lutundula (3rd L), Minister of Foreign Affairs in the Democratic Republic of Congo and current chairperson of the African Union, stand up during the opening ceremony of the 39th ordinary session of the executive council of the African Union, in Addis Ababa, Ethiopia, on October 14, 2021. (Photo by EDUARDO SOTERAS / AFP)

UMOJA wa Afrika umetoa wito kwa nchi za Afrika kuimarisha kwa pamoja Mkataba wa Eneo la Biashara Huria la Bara la Afrika (AfCFTA) na uendelezaji wa viwanda katika bara hilo ili kutimiza matarajio muhimu ya maendeleo ya Afrika.

Umoja wa Afrika umesema katika taarifa yake kuwa, kuendeleza AfCFTA sambamba na ukuaji wa viwanda kwa juhudi za pamoja ili kutimiza mategemeano yanayohimizana kati ya hizo mbili, ni nguzo muhimu ya mafanikio ya Afrika na Ajenda ya 2063.

Kauli hiyo imetolewa kabla ya mkutano wa Umoja wa Afrika kuhusu Uendelezaji wa Viwanda na Anuwai ya Uchumi, unaotarajiwa kufanyika Novemba 20-25 huko Niamey, mji mkuu wa Niger.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here