Rais Samia amtumbua DC na Wakurugenzi wanne

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya utenguzi wa nafasi za Viongozi wafuatao:-

  1. Bw. Reuben Ndiza Mfune, Mkuu wa Wilaya ya Mbarali;
  • Bw. Msongela Nitu Palela, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, Mara;
  • Bw. Michael Augustino Matomora, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba, Singida;
  • Bw. Linno Pius Mwageni, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Shinyanga; na
  • Bw. Sunday Deogratius Ndori, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, Njombe.

Utenguzi huu ulianza tarehe 22 Januari, 2023.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here