Home Habari Rais Dkt. Samia azungumza na viongozi mbalimbali kwenye mkutano wa AGRA Habari Rais Dkt. Samia azungumza na viongozi mbalimbali kwenye mkutano wa AGRA By Ripota Wetu - December 13, 2022 0 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali kuhusu masuala ya Kilimo katika Mkutano wa AGRA uliofanyika katika Ofisi za Taasisi ya Bill na Melinda Gates, Jijini Washington Marekani. Viongozi mbalimbali pamoja na Wadau walioshiriki kwenye Mkutano wa Agra uliofanyika katika Ofisi za Taasisi ya Bill na Melinda Gates, Jijini Washington Marekani. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri Mkuu Mstaafu wa Ethiopia Hailemariam Desalegn ambaye ni Mwenyekiti wa Mfuko wa AGRF pamoja na wadau mbalimbali mara baada ya mkutano wa Agra uliofanyika katika Ofisi za Taasisi ya Bill na Melinda Gates, Jijini Washington Marekani. RELATED ARTICLESMORE FROM AUTHOR Serikali itaendelea kutoa fedha za utekelezaji wa miradi – Majaliwa Biteko: Tanzania inashika nafasi ya nne kwa uzalishaji dhahabu Afrika ‘Usimamizi thabiti wa madini mkakati utakuza uchumi wa Afrika’ LEAVE A REPLY Cancel reply Please enter your comment! Please enter your name here You have entered an incorrect email address! Please enter your email address here Save my name, email, and website in this browser for the next time I comment.