Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwasili Msalato, jijini Dodoma katika hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Msalato. Kushoto kwake ni Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia SuluhuHassan akiwa na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB), pamoja na viongozi wengine wa Serikali akifungua kitambaakuashiria ufunguzi rasmi wa uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenziwa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma.Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Ujenzi), Eng. GodfreyKasekenya (katikati) pamoja na viongozi wengine wa Serikali wakisilikilizahotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, SamiaSuluhu Hassan wakati wa hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Kiwanja chaNdege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma.Machifu wa Jiji la Dodoma, Wafanyakazi wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (picha ya chini),pamoja na wananchi wakisilikiliza hotuba ya Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan wakati wahafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa chaMsalato, jijini Dodoma.Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali wakifurahi jambo mara baadaya hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanja chaNdege cha Kimataifa cha Msalato, jijini Dodoma. (PICHA NA WUU).