Rais Samia ashiriki mikutano mbalimbali Misri

0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Botswana Mokgweetsi Masisi katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Sharm El Sheikh, nchini Misri.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza katika moja ya Mikutano ilioandaliwa na Benki ya Dunia kuhusu miradi mbalimbali ya Mazingira inayosaidia kupunguza hewa ukaa kwenye muendelezo wa COP 27 nchini Misri Novemba 8, 2022. Mkutano huo ulioongozwa na Rais wa Benki ya Dunia David Malpass, pia umehudhuriwa na Rais wa Msumbiji Filipe Nyussi.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na Watanzania waliofika kutembelea Banda la Maonesho la Tanzania lililopo ndani ya ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Sharm El Sheikh nchini Misri.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mabalozi wa Mazingira wa Tanzania mara baada ya kutembelea Banda la Maonesho la Tanzania lililopo ndani ya ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Sharm El Sheikh, nchini Misri.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here