Balozi Matinyi: Tumieni fursa mliyopata kwa faida ya taifa

0

BALOZI wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi amekutana na wanafunzi wapya wa Tanzania waliokuja kusoma shahada za uzamili katika fani mbalimbali nchini Sweden katika muhula wa mwaka 2025/26.

Balozi Matinyi aliwaandalia wanafunzi hao hafla fupi katika makazi yake jijini Stockholm, Jumapili Septemba 21, 2025 ili kuwaeleza umuhimu wa kutumia maarifa na fursa waliopata kwa faida ya taifa.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here